Sunday, October 30, 2011

KIDIHESA WAPANIA KUFANYA KWELI KILOMBERO

Umoja wa wanafunzi wa elimu ya juu wilaya ya Kilombero (KIDIHESA)
Jana wamefanya kikao cha pili kwenye ukumbi wa Sisimizi bar- ubungo kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabiri wilaya ya kilombero. Wasomi hao wameunda kamati ili kurahisisha utelekezaji wa majukumu yao. Kamati zilizoundwa ni fedha, mipango na kamati ya maendeleo ya jamii.Mmoja wa wanachama aliyeuzulia kwenye kikao Bw. Prosper Mbwagai alisema tunabidi kuanzisha vyanzo vya biashara kuliko kutegemea ada ya uanachama pekee kwa mfano kuanzisha miradi mbalimbali kama vile uuzaji wa T shirt ili kutunisha mfuko wetu. Mambo waliyoyajadili ni:- 1.Ada ya uanachama Tsh. 10,000/= kwa mwaka
2.Wasomi kutumia taaluma zao kutatua kero zinazowakabili wana kilombero kwa ujumla
3. Kutoa elimu mbalimbali ikiwemo ujasiliamali, mazingira, umiliki wa ardhi
4. Kuitambulisha rasmi katiba yao katika halmashauri ya wilaya ya kilombero
5. Kuunda kamati na kuteua walezi wa KIDIHESA
Umoja huo unaojumuisha wanafunzi wa elimu ya juu wenye asili ya kilombero utafanyika tena mwezi wa kumi na mbili.

Wednesday, December 1, 2010

Abel del mlowe-king wa malavidavi

Friday, June 4, 2010

Friday, May 21, 2010


Mama Salma Kikwete akiwa na mke wa rais wa Uganda(Yoweri mseveni)



Tuesday, May 18, 2010

Haya ni maajabu ya mwaka.... hawa jamaa walikufa na kufufuka ........Je, wewe unaamini hayo mambo....!


MSIMBIPU MUNGU


Wednesday, May 12, 2010

GET MORE > City > towns > Morogoro

To the older generation, Morogoro means the home of various reputed musicians such as the




late Salum Abdallah and the Cuban Marimba Band, Mbarak Mwishehe, the Super Volcano band




and so on.



Not only that, this old generation would always view Morogoro as a real (Dar es Salaam) city full




of luxuries and entertainment except that it has no sea or ocean, and that is why it came to be




known by the name of Mji kasoro bahari. It is true that Morogoro is a city except for the ocean.




People are already 'gossiping' that residents of Dar es Salaam are now going to Morogoro for




their weekends. One clear reason is that climatewise the municipality is cooler and the Uluguru




mountains are a visual feast.




Secondly, the town has a number of top class and middle class hotels and lodges owing to its




strategic position where roads to Iringa, Dodoma and Dar es Salaam intercept. The famous




Msamvu new bus stop is another good reason for the town to be frequented by a lot of visitors




weekly. As the town is surrounded by the famous Uluguru Mountains, a number of tourists




travel there making Morogoro their base for their expeditions.




This is so for those going to Mikumi National Park and those proceeding to the Udzungwa




National Park.





If you look at what is happening in the town center, particularly at night, you would surely think




that some youths of this town are not fully utilising the gift that God bestowed on them. The




region is blessed with fertile land, where crops such as paddy, sisal, fruits, sugar cane, yams, to




mention but a few, thrive.